Wednesday, August 22, 2012

PAMBA KALI KUTOKA CHEEKS FASHION ZIMEINGIA

Wadada wa mjini fikeni Cheeks Fashion kujizolea pamba kali kutoka Ulaya kwa bei poa sana.
Mwanamke kupendeza. Utakutana na wajanja wa mjini wanaopenda kutokelezea kwa mapigo ya kisasa.

Tunapatikana
Kinondon Manyanya mkabala na Togo
Dar es Salaam, Tanzania
Simu: +255 173 558 494

Picha na Graphics zimefanywa na
Ruma Africa
kwa mkono wa Rulea Sanga
Simu +255 715 85 15 23
B/Pepe: rumatz2011@yahoo.com
Blogu: www.rumaafrica.blogspot.com
OR
www.rumaafricajobs.blogspot.com

KARIBUNI SANA




















GRAPHIC DESIGNER:

Thursday, August 9, 2012

MZIGO MPYA UMETUA NDANI YA BONGO KWA WOTE WAPENDAO KUPENDEZA NA KUTOKELEZEA WAKIWA SMART

Cheeks Fashion leo imekuletea pamba mpya kwako wewe unayependa kupendeza na kuonekana smart kwa washikaji wako na ndugu zako. Fashion mpya zimetua....Fika katika duka letu lililoko Kinondoni Manyanya kama unaelekea Kinondoni Makaburini. Ukifika uliza Cheeks Fashion utaonyeshwa na utakutana na warembo kibao wakichagua pamba zao. Utapokelewa kwa ukarimu na wauzaji wa maduka yetu, nao wakiwa wamepiga pamba safi.


Njoo ujionee!!!

[Picha zimepigwa na RUMA AFRICA (Rulea Sanga)
Mawasiliano yetu ni
+255 715 85 15 23
B/Pepe: rumatz2011@yahoo.com
Blogu: www.rumaafrica.blogspot.com
Ofisi: Sinza Afrikasana, nyuma ya soko la matunda na mboga
Karibuni Sana